• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Kuhusu Tamasha
    • Mwongozo wa Tamasha
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Historia

TAASISI ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa)ni zao la kilichokuwa Chuo cha Sanaa Bagamoyo. Historia ya ya chuo cha Sanaa Bagamoyo ilianzia mnamo mwaka 1962 ambapo kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanganyika iliundwa wizara ya vijana na utamaduni. Mnamo mwaka 1972 ilionekana kuwa kuna uhitaji wa kuwa na mafunzo rasmi ya mambo ya Sanaa, hii ilipelekea kuanzishwa kwa chuo cha sanaa Bagamoyo(BCA). Kati ya mwaka 2003-2005 Chuo cha Sanaa Bagamoyo kilisajiliwa na Baraza la taifa la elimu ya ufundi (NACTE), na kuanzia hapo mitaala ya kufundishia iliandaliwa kikamilifu na kupata ithibati ya NACTE. Mwishoni mwa mwaka 2005 uamuzi ulifanywa na iliyokuwa Wizara ya Elimu na Utamaduni kwamba, Chuo cha Sanaa Bagamoyo kibadilishwe kuwa wakala wa Serikali chini ya mpango wa mabadiliko ya sekta ya umma,kwa hiyo Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo ilianzishwa mnamo tarehe 2 Novemba 2007, kwa tangazo namba 220 lililochapishwa kwenye gazeti la Serikali kwa mujibu wa sheria ya Wakala wa Serikali namba 30 ya mwaka 1997.

Taasisi ya sanaa na utamaduni Bagamoyo ni kituo chenye ubora uliotukuka Afrika Mashariki katika kutoa mafunzo ya Sanaa za maonyesho na ufundi ambapo majukumu yake makubwa ni kuhudumia mahitaji ya nchi washirika wa jumuiya ya Afrika Mashariki katika kutunza, kuhamasisha na kuendeleza Sanaa za maonyesho na ufundi.

MAJUKUMU YA TASUBA

Kutoa mafunzo

Kufanya utafiti katika masuala yanayohusu Sanaa na Utamaduni

Kutoa ushauri katika masuala yanayohusu Sanaa na Utamaduni

Matangazo

  • LIST OF SELECTED APPLICANTS SEPTEMBER INTAKE 2023 SECOND ROUND October 04, 2023
  • LIST OF SELECTED APPLICANTS FOR 2023 SEPTEMBER INTAKE August 21, 2023
  • JOIN INSTRUCTION FOR ACADEMIC YEAR 2023-2024 August 16, 2023
  • WITO KWA WASANII KUSHIRIKI TAMASHA LA 42 LA KIMATAIFA LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO -2023 April 20, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Karibu TaSUBa Chuo chenye mazingira mazuri kwa ajili ya kujifunzia

    December 01, 2023
  • Waandaaji wa tuzo za Filamu za "Hollywood and African Prestigious Award"

    November 14, 2023
  • *SANAA ITUMIKE KUWAUNGANISHA WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZAO*

    October 29, 2023
  • MSIWAZUIE VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA; KATIBU MKUU MSIGWA

    October 27, 2023
  • Angalia zote

Video

MAANDALIZI YA ONESHO LA WANAFUNZI TaSUBa LINALOFANYIKA KILA IJUMAA YA MWISHO YA MWEZI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS))
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Baraza la Sanaa la Taifa

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2022 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.