• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • NeST |
    • Dirisha la Watumishi (Employee Self Service (ESS)) |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
    • Prospectus
  • Tamasha la Bagamoyo
    • Tamasha la 44
    • Tamasha la 43
    • Tamasha la 42
    • Tamasha la 41
    • Tamasha la 40
    • Tamasha la 39
    • Tamasha la 38
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Video

  • "FROZEN DANCE" YA MUDA AFRIKA YAKONGA NYOYO ZA WATAZAMAJI

    June 9th, 2026

    Kikundi cha dance kinachofahamika kwa jina la Muda Africa kimeonyesha uwezo mkubwa wa kisanaa kwa kuonesha uchezaji wa dansi unaojulikana kama "Frozen Dance" uliowavutia na kuwaacha watazamaji vinywa wazi!Wanakikundi hao walionesha ubunifu, umakini na ushirikiano wa hali ya juu kwa kufanya miondoko iliyokuwa ikisimama ghafla kama sanamu na kisha kuendelea kwa ustadi mkubwa. Umahiri huo uliwafanya watazamaji kufurahia burudani hiyo huku wakitoa makofi na shangwe za pongezi.Maonesho haya yameendelea kuthibitisha kuwa sanaa ya dansi ni jukwaa muhimu la kuonesha vipaji, ubunifu na uwezo wa wasanii wa Tanzania katika kutoa burudani yenye mvuto kwa jamii.

  • KARIBU TaSUBa: VIPAJI HUZALIWA LAKINI WASANII HUANDALIWA

    June 4th, 2026

    "Vipaji huzaliwa, lakini wasanii huandaliwa. Karibu TaSUBa kwa mwaka wa masomo 2026/2027 ujifunze, ubobe na ufanikiwe katika dunia ya sanaa na utamaduni."

  • KIPAJI CHA USHAIRI CHAMPA MWELEKEO MWANAFUNZI WA TaSUBa

    June 1st, 2026

    Nasoro Mchunga, mwanafunzi wa kozi ya Music and Sound Production katika Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), ameendelea kuonesha umahiri wake katika sanaa ya ushairi, kipaji ambacho anasema alianza kukiendeleza mwaka 2020 alipokuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza.Nasoro anabainisha kuwa mapenzi yake kwa ushairi yalianza tangu akiwa shuleni, ambapo alianza kutunga mashairi mbalimbali yaliyolenga kuelimisha, kuburudisha na kuhamasisha jamii kuhusu masuala tofauti ya kijamii.Amewahimiza vijana wenye vipaji mbalimbali kuviendeleza kwa kujituma, kujifunza na kutokata tamaa, akisisitiza kuwa vipaji vinaweza kuwa daraja la kufikia mafanikio makubwa endapo vitapewa nafasi ya kukuzwa.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • Next →

Matangazo

  • majina ya waombaji ambao wamechaguliwa na NACTVET kujiunga na Taasisi ya sanaa na utamaduni Bagamoyo ingizo la Septemba 2025 August 15, 2025
  • JOINING INSTRUCTION 2025-2026 August 15, 2025
  • SELECTED APPLICANT SEPTEMBER INTAKE 2025 (2ND ROUND) November 04, 2025
  • MAELEKEZO YA KUJIUNGA TaSUBa MWAKA 2026/2027 INGIZO LA MWEZI MACHI March 31, 2026
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIPAJI CHA USHAIRI CHAMPA MWELEKEO MWANAFUNZI WA TaSUBa

    June 01, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 30, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 23, 2026
  • KARIBU UJIUNGE NA CHUO MWAKA WA MASOMO 2026/2027

    April 22, 2026
  • Angalia zote

Video

MTANZANIA AIPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA NCHINI INDIA
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2024 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) . All rights reserved.