• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha
    • Kuhusu Tamasha
    • 39 Festival
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

TAMASHA LA 39

Posted on: December 27th, 2020

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (watatu kushoto) akiserebuka baada ya kutoa neno kwa wananchi waliohudhuria Tamasha la 39 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo lililofanyika mwishoni mwa Desemba, 2020 katika viwanja vya TaSUBa Bagamoyo. Walio pamoja nae ni Naibu Waziri, Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Abdallah Ulega (wapili kushoto), Kulia ni Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi, Mkuu wa Wilaya Bagamoyo, Mhe. Zainabu Kawawa. Wengine kutoka kulia ni Katibu Tawala Wilaya Bagamoyo Bibi. Kasilida Mgeni, Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya, Bagamoyo Bibi. Fatuma Ratu, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa,  Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Emmanuel Ishengoma na Mkuu wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Dkt. Herbert Makoye.

Matangazo

  • MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO MUHULA WA MACHI, 2021 January 08, 2021
  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) YEAR 2020/2021 October 21, 2020
  • APPLICATION FORM FOR ADMISSION TO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2020/2021 (MARCH INTAKE) January 08, 2021
  • TANGAZO LA MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO (TaSUBa) 2020-2021 June 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TAMASHA LA 39

    December 27, 2020
  • ZIARA

    December 23, 2020
  • TaSUBa na Clouds Plus wakubaliana uendeshaji wa Tamasha la 38 la Bagamoyo

    April 29, 2019
  • Balozi wa Japan atembelea TaSUBa

    March 15, 2019
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • IDARA YA HABARI-MAELEZO
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2020 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo . All rights reserved.