• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)
TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO (TaSUBa)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma Zetu
    • Kikundi cha Bagamoyo
    • Vyumba vya Mikutano
    • Ushauri
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Ofisi
    • Vitengo
  • Taaluma
    • Kozi Zitolewazo
    • Fomu za Maombi
    • Matokeo ya Mtihani
  • Tamasha
    • Kuhusu Tamasha
    • 39 Festival
    • Fomu za Maombi ya Tamasha
  • Kituo cha habari
    • TaSUBa TV
    • Maktaba ya Picha
  • Wasiliana
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Majarida
    • Vipeperushi
    • Taarifa kwa umma

Balozi wa Japan atembelea TaSUBa

Posted on: March 15th, 2019

Balozi wa Japan nchini Tanzania Mh.Shinishi Goto ametembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) lengo ikiwa ni kujionea shughuli mbali mbali zinazofanywa na Taasisi hiyo ambayo ni kituo chenye ubora uliotukuka Afrika mashariki, katika utoaji wa Mafunzo ya Sanaa na Utamaduni.

Akizungumza katika ziara hiyo Balozi shinishi alisema kuwa lengo la ziara yake ni kuendelea kudumisha na kuimarisha mahusiano mazuri yaliyopo kati ya TaSUBa na nchi ya Japan.

Akiwa TaSUBa Balozi Shinishi ameona shughuli mbalimbali zinazofanywa na Taasisi  na namna mafunzo yanavyotolewa pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumiwa na Taasisi katika kutoa mafunzo,lakini pia alipata nafasi ya kuangalia onyesho maalumu la Ngoma na Muziki wa asili lililofanywa na wanachuo pamoja na Wakufunzi wa TaSUBa.

Naye Mkuu wa Chuo wa TaSUBa Dkt.Herbert Makoye alimshukuru Balozi Shinishi Goto kwa kutembelea TaSUBa , lakini pia alimkaribisha kuhudhuria Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo litakalofanyika Mwezi Oktoba mwaka huu.

Matangazo

  • MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO MUHULA WA MACHI, 2021 January 08, 2021
  • JOINING INSTRUCTION TO JOIN Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) YEAR 2020/2021 October 21, 2020
  • APPLICATION FORM FOR ADMISSION TO CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES FOR ACADEMIC YEAR 2020/2021 (MARCH INTAKE) January 08, 2021
  • TANGAZO LA MAOMBI YA KUJIUNGA NA CHUO (TaSUBa) 2020-2021 June 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TAMASHA LA 39

    December 27, 2020
  • ZIARA

    December 23, 2020
  • TaSUBa na Clouds Plus wakubaliana uendeshaji wa Tamasha la 38 la Bagamoyo

    April 29, 2019
  • Balozi wa Japan atembelea TaSUBa

    March 15, 2019
  • Angalia zote

Video

Sanaa Tuition fee waiver scholarship
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • IDARA YA HABARI-MAELEZO
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Kaole Road

    Anuani ya posta: P.O.Box 32 Bagamoyo Tanzania

    Simu: +255 023 2440149

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: application@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu masomo) info@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo ya ujumla) bagamoyofest@tasuba.ac.tz (Barua pepe hii inatumika kwenye mambo yote yanayohusu Tamasha) tas

Other Contacts

   

Idadi ya waliotembelea Tovuti

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Copyright ©2020 Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo . All rights reserved.