Hivyo watu wote mnakaribishwa kwa mikono miwili!!!Karibuni sana tushirikiane kwa pamoja.
The Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) has received fund from the Government of Tanzania towards the cost of “Rehabilitation of 4 studios with facilities” and it intends to apply part of the proceeds of this fund to cover eligible payments under the contract for which this invitation for quotation is issued.
The Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) has received fund from the Government of Tanzania towards the cost of “Rehabilitation of 4 studios with facilities” and it intends to apply part of the proceeds of this fund to cover eligible payments under the contract for which this invitation for quotation is issued.
Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) Mkoa wa Pwani inawatangazia Umma kwamba itaondosha gari, pikipiki na vifaa chakavu vya aina mbalimbali kwa njia ya mnada wa hadhara. Mnada huo utafanyika katika Ofisi za Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Mkoa wa Pwani.